SEMINA YA KUONGEZA KIPATO CHAKO MARA MBILI
Ticket

SEMINA YA KUONGEZA KIPATO CHAKO MARA MBILI

(0 Ratings)
1
TSh20,000.00

*KARIBU KWENYE SEMINA YA KUONGEZA KIPATO CHAKO MARA MBILI MWAKA 2023/2024*


https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v


Kila mwaka huwa tunakuwa na semina tatu ambapo,semina mbili huwa zinafanyika kwa njia ya mtandao, huku moja ikifanyika ana kwa ana. Kwa mwaka huu mpaka unaposoma ujumbe huu tayari tumeshafanya semina mbili, moja ya mtandaoni na nyingine ya ana kwa ana, hivyo kumbe kilichobaki ni semina moja ya mtandaoni.


Na semina hii sasa inaenda kufanyika mwezi wa tisa tarehe 24-30.


Karibu kwenye semina ya kuongeza kipato mara mbili ndani ya mwaka mmoja. Lengo la semina hii ni kwamba uweze kuongeza kipato chako mara mbili ndani ya mwaka mmoja.



Zifuatazo ni mada ambazo tutajifunza kwenye hii semina.


SIKU YA KWANZA:

KARIBU KWENYE SEMINA YA KUONGEZA KIPATO MARA 2

Katika hii siku tutaona


Kwa nini unahitaji kuongeza kipato chako mara 2

Hatua sita Muhimu za kufuata ili uongeze kipato chako mara 2 ndani ya mwaka mmoja

Jinsi ya kuweka yatakayokupelekea kuongeza kipato chako mara 2




SIKU YA 2

Vyanzo muhimu vitakavyokuwezesha kuongeza kipato chako mara mbili NDANI YA MWAKA MMOJA

Jinsi ya kutumia kanuni ya 20/80 kwenye kujenga kipato chako mara 2 ndani ya mwaka mmoja.


Siku ya tatu: JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA NJE YA MSHAHARA


Ndani ya hii siku tutazama ndani zaidi na kuona....


Kwa nini unahitaji kutengeneza mshahara wako mwenyewe (nje ya mshahara ya mshahara wa kawaida)


Namna ya kutengeneza mshahara nje ya mshahara


Uwekezaji. Msingi mkuu wa kutengeneza mshahara nje ya mshahara.



*Mpaka hapo ada yako ya semina itakuwa imeisha, ila semina itakuwa inaendelea*😊😊




SIKU YA NNE: BIASHARA: NYENZO MUHIMU YA KUONGEZA KIPATO CHAKO MARA MBILI ZAIDI NDANI YA MWAKA MMOJA


Kuanzisha biashara yako - wazo na mkakati


Usimamizi wa biashara na ukuaji wa kipato


Mbinu za kujiongezea mauzo na mapato


Kutambua fursa za kukua na kupanua biashara yako


Kupima mafanikio na kutengeneza mkakati wa baadaye



SIKU YA TANO: MTANDAO WAKO NDIYO UTAJIRI WAKO:


Jinsi ya kujenga mtandao utakaokupa fedha


Mbinu za kuwafikia wateja au watu watakaokuwa tayari kutoa fedha mfukoni kukulipa au kununua bidhaa zako


Biashara ni mahusiano na namna ya kuyajenga



Siku ya SITA: ELIMU YA KIFEDHA: KUDHIBITI NA KUKUZA FEDHA ZAKO


Uelewa wa msingi wa fedha na bajeti

Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima

Kuweka akiba na kuwekeza kwa ufanisi

Kudhibiti madeni na mikopo


SIKU YA SABA: UTAJIRI: MISINGI MIKUU YA KUJENGA UTAJIRI ISIYOYUMBA


Jinsi ya kuandaa utajiri utakaorithishwa mpaka kwa watoto na wajukuu zako



SIKU YA NANE: HITIMISHO




Kama unavyoona, semina hii itakuwa imeshiba kwa siku zote saba, tutajifunza mengi na ambayo yatakusaidia wewe kuweza kupiga hatua na kuongeza kipato chako mara mbili.


Sambamba na hayo mambo makubwa sana ambayo utajifunza gharama ya semina hii itakuwa ni 20,000/- tu.


Unachotakiwa kufanya sasa hivi ni wewe kuthibitisha ushiriki wako kwenye hii semina. Na njia bora ya wewe kuthibitisha ushiriki wako kwenye hii semina ni rahisi sana.


Tuma neno SEMINA, likifuatiwa na jina lako kamili.

Kwenda 0684408755

Kisha taja namna utakavyofanya malipo.


Mfano.

SEMINA, GODIUS RWEYONGEZA

Nitafanya malipo yote kwa pamoja tarehe 10


Au


SEMINA, JOHN MSEMAKWELI

Nitalipia kila mwisho wa wiki 5000/-


Thibitisha ushiriki wako kwenye semina hii sasa.


Kumbuka hii ni semina ya mtandaoni. Na itafanyika tarehe 24 -30 septemba.



Mfumo wa kutoa mafunzo ya semina hii.


Masomo yatatolewa kupitia kundi maalumu la Whatsapp. Yatatolewa kwa njia ya maandishi na sauti pia. Hivyo, kama utakuwa umebanwa na huwezi kusoma, utakuwa unapata nafasi ya kupata somo la siku hiyohiyo kwa mfumo wa sauti. Waliowahi kusikiliza audiobooks zetu wanajua namna ambavyo audiobooks zetu huwa zinakuwa πŸ”₯ πŸ”₯.



Tutakuwa na kundi special la whatsap. Kwenye kundi hili utaungwa tu punde baada walau nusu ya gharama ya semina


Gharama ya semina ni 20,000/- tu. Na inalipwa kupitia 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA


Kwa kipindi chote cha semina, masomo yatakuwa yanatolewa mapema kabla ya saa 11 alfajiri. Utapata muda mzuri wa kusoma au Kusikiliza somo la siku husika. Baada ya kusoma somo hilo, utaruhusiwa kuuliza maswali.


Jioni saa 1-2 tutakuwa tunakuwa na mjadala wa pamoja.

Hii itakuwa ni kwa siku zote saba za semina.


Kiukweli. Naam, kiukweli, itakuwa na semina bora sana kuwahi kutokea!


Frequently bought together

Β© 2026 GODIUS RWEYONGEZA. All Rights Reserved.

Powered By